LEMUTUZ

Tuesday, December 9, 2014

NDOA YA FEZA KESSY YAYEYUKA BAADAYA KUSUBIRIWA KWA HAU KUBWA

Posted by Williammalecela.com on Tuesday, December 09, 2014
 
Staa wa Bongo Fleva aliyeiwakilisha Bongo kwenye Shindano la Big Brother Africa 2013 ‘The Chase’, Feza Kessy.
Mpenzi msomaji tunasikitika kukujuza kwamba ile ndoa iliyosubiriwa kwa hamu kubwa imeyeyuka baada ya uchumba wa staa wa Bongo Fleva aliyeiwakilisha Bongo kwenye Shindano la Big Brother Africa 2013 ‘The Chase’, Feza Kessy na jamaa kutoka Botswana, Oneal umeanguka chali.Habari za uhakika zinadai kwamba mwanadada huyo ndiye aliyeamua kukata mzizi wa fitina na kuachana na mwanaume huyo ambaye alitimba Bongo kumchumbia baada kuona hana mipango ya maisha ya baadaye huku jamaa akiwa bize na maisha yake na mwanaye mwenye umri wa miaka nane.
Feza Kessy akipozi.
Akizungumzia ishu hiyo, Feza alisema: “Mimi ndiye niliyemuacha. Nilitangaza kupitia Twitter (mtandao) lakini ujumbe umefika. Ni kweli tumeachana lakini siwezi kuzungumza in details (kiundani). Vitu vingine vitafunguka baadaye.
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)

TOTAL PAGEVIEWS

Popular Posts

  • LIVE: RAIS MAGUFULI ANAKABIDHIWA RIPOTI YA UCHUNGUZI WA MADINI
  • BREAKING NEWZ: BASI LA NGANGA LATUMBUKIA MTARONI KULIKWEPA LORI
  • THE UDAKUZ: WEMA SEPETU Vs WOLPER!!
  • IRAN NA MAREKANI WAZIDI KUIMARISHA UHUSIANO
  • PICHA YA KWANZA YA KANISA LA ASKOFU MTATA GWAJIMA BAADA YA KUKUMBWA NA BOMOA BOMOA YA SERIKALI JANA LIVE.
Copyright © LEMUTUZ

Developed by MKCT