Thursday, December 18, 2014

Kipindi cha nyuma  nakumbuka Matei Lounge alifanya Event nyingi na kubwa sana ikiwemo hii ya Mastaa kama vile Ma Miss na Ma Video queen, Matei lounge ilifanyika Party kubwa sana  ya Girls Car Wash Party ambapo Kinara wa bongo Agness Masogange,Hamisa Mobeto na Miss Tz namba tatu wa 2013 na wengine kibao walihudhuria kwenye Party hiyo ambayo ilivunja historia ndani ya Dodoma na Tanzania nzima...


Matei Lounge ndio sehemu pekee kwa Dodoma inayoongoza kwa starehe na bata zote za mjini huwa zinafanyika hapo,Vile vile hapo ndipo Mastaa wa Bongo Fleva,Movie na viongozi mbalimbali wa nchi ambapo wakiwemo Dodoma ndio mahali pekee wanapopendeleaga.. Kiukweli sifa pekee ambapo ukiwa ya kiwanja hicho ni Huduma nzuri pamoja na Chakula kinachopatikana Muda wowote ule ukiwa unahitaji

0 comments:

Post a Comment