Ikiwa ni siku tatu sasa tangu atue nchini Ghana,akionekana mwenye
furaha tele, mwanadada Wema Sepetu akiwa Location na Van Vicker, aliweka
picha hiyo hapo juu mtandaoni na akafunguka kuwa tayari ameshapapenda
Ghana.
kuandika maneno haya;
"Day 3... & Im loving Ghana already..... Silly us before we start
shooting our next scene.... #NextBigThing#DayAfterDeath (D.A.D)
starring Myself and Ghana's very own Van Vicker.... Let me nat forget he
is also Directing it ey...."
Tena akaweka na hii;SOMA ZAIDI>>>
0 comments:
Post a Comment