Subscribe to:
Post Comments (Atom)
![]() |
| Ninayoandika hapa ni panya road kinondoni na mwananyamala muda huu wanafanya yao
======== UPDATES ======= - Panya Road wamevamia maeneo mengi Dar... Kijitonyama, Mwanyamala, Kinondoni ni vurugu tupu; risasi na mapanga - Baa za Meridians, Jakaranda na Mango zimefungwa - Baa ya Catalunya huko Sinza inadaiwa imevamiwa pia
Mi nipo knyama watu walikuw wnafunga maduka kw
romours zilizokuwa zimeenea mitaani. Diffender mbili zimepita zikitokea
mabatini kituo cha polisi na kupiga risasi moja hewani kabla hawajakunja
kufuata akachube road ilielekeayo mwananyamala. Nothing has been known
kuanzia nusu saa iliyopita.
Yes, sinza wamepita. Tena wamepita nje ya
nyumba yangu kabisa. Nimefunga milango na mageti yote nipo ndani tu na
umeme umekatika. Ila kwa sasa pako shwari sijui wameeleka pande zipi.
Ila ni hatari mtaa wote kimya kimya kabisa. Hata wenye za moto wanahofia
endapo utaua mmoja
Breakingnews.......
— Taarifa iliyotolewa na kituo kimoja cha redio cha EFM muda mfup uliopita,kumezuka kund moja maarufu km "PANYA ROAD" maeneo ya Ubungo na kufanya uhalifu wa mali na kuwaweka ktk hali ya waswas wakaz wa maeneo ya Ubungo! na taarif zilizopo sasa zinasema kundi hilo limefika maeneo ya Kinondon likielekea Msasan! tayar mamlaka zimepewa taarifa juu ya kund hilo ambalo linatumia visu,nondo na mapanga ktk kufanya uhalifu huo! Kund hilo limeanza kufanya uhalifu huo jion saa 12 maeneo ya ubungo! kwa mujibu wa radio EFM,takriban maduka yote ya Ubungo yalifungwa jion kwa hofu ya kundi hilo!
sorce:EFM Radio
Like ·
|
0 comments:
Post a Comment