Posted by Williammalecela.com on Wednesday, January 07, 2015
 |
| Gavana wa jiji la New York Bw. Andrew Cuomo na mama yake mzazi Bi. Matilda
Cuomo wakifuatilia Jeneza lililobeba mwili wa aliyekuwa Gavana wa zamani
wa New York Bw. Mario Cuomo. Mario ni baba wa Andrew amefariki siku
ambayo mwanae Andrew anaapishwa kuwa Meya wa NY. Amezikwa leo. |
0 comments:
Post a Comment