![]() |
DUKA lipo Dar Free Market 1st Floor
Shop No F4. Wako wazi kuanzia saa nne asubuhi mpaka saa nne usiku.
Hapo
utapata kila kitu kuanzia Lotions, Dawa Za Nywele za watoto na watu
wazima, Mafuta mazuri ya nywele na mwili kwaajili ya watoto, Queen
Elisabeth (Jumla na Reja Reja), Make Ups, Perfumes yaani cosmetics na
urembo wa kila aina.
Vitu vyao ni 100% original
na vyote vinatokea UK na Marekani Bei zao ni very affordable. Pia Kuna
nywele aina zote kuanzia huma hair za kawaida na Natural Human Hair like
Brazilian, Peruvian, Closures na ma lace wig ya ukweli. Bei zao ni
nafuu sana karibuni mjionee wenyewe.
Wamiliki
wa masalon ya kike, kiume na kucha pia mnakaribishwa kujipatia bidhaa
zenye ubora wa hali ya juu. Wasiliana nao kwa kuwafollow kupitia acc yao
personal ya Instagram
@
Contact details +255 752 019 597 au +255 65 918 9769
Whatsapp ni +447557304940 (Business Enquires Only Please)
Email: jestinageorge@gmail.com
MSIKOSE SIKU YA UZINDUZI BEI ZA SALE! Karibuni!!!
|
Sunday, January 11, 2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)




0 comments:
Post a Comment