Sunday, January 11, 2015


DUKA lipo Dar Free Market 1st Floor Shop No F4. Wako wazi kuanzia saa nne asubuhi mpaka saa nne usiku.
Hapo utapata kila kitu kuanzia Lotions, Dawa Za Nywele za watoto na watu wazima, Mafuta mazuri ya nywele na mwili kwaajili ya watoto, Queen Elisabeth (Jumla na Reja Reja), Make Ups, Perfumes yaani cosmetics na urembo wa kila aina.

Vitu vyao ni 100% original na vyote vinatokea UK na Marekani Bei zao ni very affordable. Pia Kuna nywele aina zote kuanzia huma hair za kawaida na Natural Human Hair like Brazilian, Peruvian, Closures na ma lace wig ya ukweli. Bei zao ni nafuu sana karibuni mjionee wenyewe.

Wamiliki wa masalon ya kike, kiume na kucha pia mnakaribishwa kujipatia bidhaa zenye ubora wa hali ya juu. Wasiliana nao kwa kuwafollow kupitia acc yao personal ya Instagram
@officialjestinageorgeblog au @zuriihouseofbeauty
Whatsapp ni +447557304940 (Business Enquires Only Please)
MSIKOSE SIKU YA UZINDUZI BEI ZA SALE! Karibuni!!!



0 comments:

Post a Comment