Wizkid anasherekea mwaka 2015 akiwa ameingiza gari mpya ndani ya yard yake ya magari, staa huyu kutoka nigeria mwenye umri wa miaka 24 amenunua gari aina ya 2015 Bentley Continental GT lenye thamani ya dollar za kimarekani $226,344 sawa na billion 384 za kitanzania, kupitia akaunti yake ya instagram aliandika hivi;
Hizi ni baadhi ya picha za gari linavyoonekana!

0 comments:
Post a Comment