Sunday, January 18, 2015

Ahmed Mundhiri, kumbe ni mtoto wa Mbunge wa zamani wa Mchinga Mh. Mdhihiri Mdhihiri amekamatwa jana kwa kuiba account za watu mbali mbali kwenye mitandao wakiwemo Fid Q na AY hapa aliponaswa jana live!!


  • Ezekiel Clement Huyo tapeli alikuwa anatumia namba hii 0655164615 .alitaka kumtapeli tundaman. Riyama. Mwisho wa yote kesi kufunguliwa magomeni .
    48 mins ·

  • Ahmedi Mohammed Guys huyo jamaa nimesoma naye olevel darasa 1 form 1-4 kiufupi namjua kupita nnavyoweza kueleza na huyo mudhhir ni baba yake mkubwa cio mzazi n kimsngi hyo n tabia yake lng time sana na ana zaid ya hayo cio fresh kuyaeleza kwa ninavyomjua nashndwa kusajest adhabu coz tulimpiga sana na aliadhbiwa sana lakini hakuweza kuacha ikafkia point tukaona may b ulimwengu utamfunza

0 comments:

Post a Comment