Friday, January 23, 2015




"-§-Jana jioni wakati nikiwa katika soko la Buguruni nikijinunulia mahitaji mbalimbali nilishtuka baada ya kumwona kijana huyu (mlemavu na sombaomba) ambaye alikuwa amechafuka sana na zaidi akiwa amelewa chakari huku akiendeleza dozi ya kiroba alichokuwa nacho mkononi.



Jichukulie ni wewe uko katika pitepite zako halafu unakutana na kijana huyu mlemavu na ombaomba katika hali kama hiyo halafu akakuomba umsaidie kile ulichonacho utafanyaje?"




  • Mponda Sibuor Don't judge, just do what your heart tell you.
  • Salma Karimu Kwa upande wangu sitomsaidia chochote kile
  • Salvatory Mkami #Mponda, I am not judging but I am just asking.
    35 mins · Like · 2
  • Ficky Makame Ungempa ya kula kaka. Pombe ni stress tu kaka. Au ww hunywi vitu vikali? Hahaah haah haah sema tu ulitamani hicho alichoshika! Salvatory Mkami
  • Mponda Sibuor Nahisi anahitaji msaada ili awe sawa. Hivyo ningemsaidia kama nina cha kumsaidia.
    • Le Mutuz Baharia

    0 comments:

    Post a Comment