Thursday, January 8, 2015

Mheshimiwa Mbunge Ridhiwani akipata maelezo ya ujenzi wa Maabara ya Shule ya Sekondari ya Kiwangwa jimboni Chalinze leo live!!






Kwenye Mkutano wa hadhara Mbunge wa Chalinze CCM Mh. Ridhiwani akipokea Kadi ya Mwenyekiti wa Chadema wa Kata ya Kiwangwa aliyeamua kuvuka na kurudi CCM live leo!!




0 comments:

Post a Comment