Tuesday, January 6, 2015

Mchungaji Zayumba ni msanii wa Hip Hop anayefanya vizuri kwenye Industry ya Muzic mjini Dodoma ...Alionekana kuvunja mbavu mada wema sepetu kwenye Ukumbi wa Matei Lounge ambapo kulifanyika Party ya funga mwaka...Mchungaji Zayumba alimpa vijembe mdam vya wazi wazi na kufanya madam pamoja na mama kijacho kushidwa kujizuaiya ukumbini na kujisahau kama yuko Ugenini na kuangua kicheko cha ushankupe  na kufanya mashabiki nao wazidi kuwa na mzuka...Ilikuwa ni Party ya ukweli ambayo haikuwahi kutokea mjini Dodoma na hii ndio ilikuwa ni mara ya kwanza kufanyika mkoani hapo nadni kiwanja kimoja tu cha kijanja cha Matei Lounge.













0 comments:

Post a Comment