Thursday, January 22, 2015
MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA YATOA ELIMU KWA VIONGOZI WA SACCOS ZA WAJASIRIAMALI MANSIPAA YA ILALA
Posted by Williammalecela.com on Thursday, January 22, 2015
Mkugenzi wa CHF Bima ya Afya, Bw.Rehan Athumani (katikati) akifungua semina ya siku tatu Januari 21, 2015 jijini Dar es Salaam ya viongozi wa SACCOS za wajasiriamali zilipo Mansipaa ya Ilala iliyoandaliwa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) lengo la semina hiyo kuwapa elimu viongozi hao kuhusu Mfuko Taifa wa Bima ya Afya ili wapeleke ujumbe kwa wanachama wa SACCOS waweze kujiunga na mfuko huo (kushoto) Afisa Ushirika Mansipaa ya Ilala, Ladislaus Mwamanswao (kulia) Meneja wa CHF Bima ya Afya, Costantine Makala.
Afisa Matekelezo wa NHIF, Godfrey Tumaini akiwakilisha mada yake kuhusina mpango wa kikoa ambapo amesema mpango huo ni mpya na umeanzishwa kwa malengo ya kukidhi haja ya kundi la watu wa kati ambao hawawezi kujilipia bima kama watu binafsi na hawaridhiki kujiunga katika mfumo wa CHF katika mfuko huo.
Afisa Matekelezo NHIF Mansipaa ya Ilala, Hipoliti Lello akisisitiza jambo wakati wa semina ya siku tatu Januari 21, 2015 jijini Dar es Salaam ya viongozi wa SACCOS za wajasiriamali zilipo Mansipaa ya Ilala iliyoandaliwa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) lengo la semina hiyo kuwapa elimu viongozi hao kuhusu Mfuko Taifa wa Bima ya Afya ili wapeleke ujumbe kwa wanachama waweze kujiunga na mfuko huo.
Afisa Matekelezo na Uratibu NHIF, Catherine Masinisa akielezea sheria za Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) wakati wa semina hiyo.
Mshiriki wa Semina hiyo, Juliana Richard akichangia mada.
Viongozi wa SACCOS wakipitia vipeperushi.
Viongozi mbalimbali wa SACCOS wakifuatilia mada wakati wa semina hiyo iliyoandaliwa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF).
Viongozi mbalimbali wa SACCOS wakifuatilia mada wakati wa semina hiyo iliyoandaliwa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF).
Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
Newer Post
Older Post
Home
0 comments:
Post a Comment
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
TOTAL PAGEVIEWS
Popular Posts
LIVE: RAIS MAGUFULI ANAKABIDHIWA RIPOTI YA UCHUNGUZI WA MADINI
BREAKING NEWZ: BASI LA NGANGA LATUMBUKIA MTARONI KULIKWEPA LORI
THE UDAKUZ: WEMA SEPETU Vs WOLPER!!
IRAN NA MAREKANI WAZIDI KUIMARISHA UHUSIANO
PICHA YA KWANZA YA KANISA LA ASKOFU MTATA GWAJIMA BAADA YA KUKUMBWA NA BOMOA BOMOA YA SERIKALI JANA LIVE.
0 comments:
Post a Comment