Wednesday, January 7, 2015


Baada ya kuapishwa kwa ndugu kimweri Mhita,kuwa mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa masaki..hapo akiwa na mama yake Mbunge wa kondoa kaskazini, Mh Zabein  Mhita na baba yake Dr Mohamed Mhita, wakimpongeza baada tu ya kuapishwa Kwake. Chini dada yake Makamu Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Mh Mboni Mhita.

0 comments:

Post a Comment