CA 
Tukiwaga tunapinga madawa ya kulevya muwe mnasikia na kuelewa madhara yake.
.sasa
ona mwisho wa siku mnadhalilishwa vibaya. Tukisema wauza unga wenyewe
kwa wenyewe hawaaminiani ukigeukwa hakuna cha mmesota wote wala nini
unaumizwa, hamuelewi!
Haya sasa ndugu yetu amewadhurumu wenzake mzigo huko South
Africa, wakamshtukia kwamba kaficha check walivyomfanyia unyama huu
mpaka kuondoa uume wake. Inasikitisha sana, picha nyingine ni mbaya
mno... na list ya wauzaji madawa inazidi kuongezeka huko SA mmejibana
wengi, yatakayowapata mtajutia
0 comments:
Post a Comment