Saturday, January 3, 2015

UTANI KIDOGO: Wakiwa uwanja cha ndege, safarini kuelekea mkoani, JB aliweka picha hii ya Mzee Majuto na kuandika maneno haya; 
“Amekataa kupanda mabasi ya airport anataka aende na hii.tena aendeshe kama alivyofanya uturuki.ni ugomvi hapa airport...” 
Hehehe Kheri ya mwaka mpya ndugu zangu.

0 comments:

Post a Comment