Monday, January 19, 2015





Mwigizaji chipukizi katika tasnia ya filamu Bongo, 'Bozi' akihuzunika.
Jambo limezua jambo! Siku chache baada ya kuripotiwa kwa tukio la staa wa sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu kunaswa kimalovee na Rais wa Masharobaro, Raheem Rummy Nanji ‘Bob Junior’, mwigizaji chipukizi, Bozi ameibuka na kudai ‘Wema niachie Bob Junior wangu’.




0 comments:

Post a Comment