Zari The Boss Lady amepost picha (hapo juu) asubuhi ya leo Jumatano (Jan 7) akiwa kwenye ndege na kuandika “Another day, another flight. Stay blessed”, inayoashiria kuna uwezekano mkubwa akawa anaenda kwa baby wake Nigeria.
Diamond naye jana alipost picha zake mwenyewe (hapo juu) akiwa anaonekana mpweke na kuandika, “Kuna mtu alikuwa mnyooonge na mpweke jana…” hii inamaanisha mtu muhimu ambaye ni baby wake ndiye anayekosekana.
Baada ya kuwa pamoja Uganda kwenye party ya Zari mwishoni mwa mwaka jana, Zari na Diamond walisafiri pamoja kwenda Burundi na Rwanda na ndio sababu kuna kila dalili pia watakua pamoja Nigeria licha ya kuwa hawakusafiri pamoja.
0 comments:
Post a Comment