Monday, February 2, 2015

 ·
 

Mkurugenzi wa Masoko wa kampuni ya simu za mkononi ya Airtel
Tanzania, Levi Nyakundi (kushoto) na Mkurugenzi wa Mawasiliano wa
kampuni hiyo, Beatrice Singano Mallya (kulia) wakionyesha kipeperushi
wakati wakizindua rasmi promosheni ya 'Airtel Yatosha Zaidi' ambapo
wateja watakaojiunga na bando la yatosha watapata nafasi ya kushinda
kila siku gari moja aina ya Toyota IST. Uzinduzi wa promosheni hiyo
ulifanyika jijini Dar es Salaam jana.



0 comments:

Post a Comment