Tuesday, February 10, 2015


Mkali wa filamu Bongo, Aunty Ezekiel.
MKALI wa filamu Bongo, Aunty Ezekiel amefunguka kuwa pamoja na kupoteza wazazi wake miaka
kadhaa nyuma pindi akiwa mdogo, anaamini mtoto atakayejifungua atamfuta machozi ya muda mrefu ya kuwapoteza wazazi wake.

0 comments:

Post a Comment