Tuesday, February 3, 2015



Mwimbaji maarufu wa nyimbo za Dini Frola Mbasha amejifungua,ambapo utata uliopo ni jamii kutaka kujua hasa baba halisi wa kiumbe hicho kufuatia kuwa katika mgogoro na mumewe kwa kipindi cha Zaidi ya mwaka mzima sasa.
                          



0 comments:

Post a Comment