Saturday, February 21, 2015

Mzungu ambaye hakuweza kutambulika jina na uraia wake akionekana  amelewa kwa madai ya kutumia dawa za kulevya madawa ya kulevya yasiyojulikana akiondoka eneo la tukio baada ya kukutwa na kamera , Mzungu
huyo alikutwa hoi mchana jana katika mgahawa ulioko karibu na eneo la Mnara wa Askari, barabara ya Samora jijini Dar es Salaam

0 comments:

Post a Comment