Posted by Williammalecela.com on Monday, February 23, 2015
Baadhi ya Wahitimu wa Chuo cha Maendeleo ya Utalii Zanzibar wakiingia katika Viwanja vya Mahafali chuoni hapo.
Mgeni Rasmi katika Mahafali ya Sita ya Chuo cha Maendeleo ya Utalii Zanzibar Waziri wa Fedha wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Saada Mkuya akitoa hotuba kwa wahitimu hawapo pichani ambapo amewataka wajiajiri wenyewe badala ya kutegemea Serikali.
Baadhi ya Wahitimu wa Fani ya Upishi wakiwa wanamsikiliza Mgeni Rasmi Waziri wa Fedha wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Saada Mkuya hayupo pichani wakati wa sherehe ya Mahafali ya Sita ya Chuoni hapo.
Baadhi ya Wahitimu wa Fani ya Ukarimu na Uongozi wa Hoteli wakivaa kofia kuashiria kukabidhiwa Stashahada zao katika Mahafali ya sita ya Chuo cha Maendeleo ya Utalii Zanzibar.
0 comments:
Post a Comment