Wednesday, February 11, 2015




Msemaji wa wizara ya ulinzi ya Marekani Admiral John Kirby amemtaja aliyeuawa ni Yusuf Dheeq aambaye alikuwa mkuu wa idara ya upelelezi ndani ya kundi hilo.
Kirby pia amesema hakuna raia yeyote aliyejeruhiwa ama kuuawa katika shambulio hiolo la anga lililofanywa na Marekani dhidi ya Al shabaab kusini mwa mji mkuu wa Somalia Mogadishu.
Categories:

0 comments:

Post a Comment