Tuesday, February 24, 2015


Hili ni toleo la February la gazeti maafuru hapa nchini VibemagazineTz ni kawaida ya gazeti hili kutumia picha ya mtu mwenye influence kubwa sana na Jamii hapa Tanzania so I am humbled sana by that ya kwamba na mimi nimefikia the milestone ya kukubalika sana na Jamii after only three years tu za kurudi home after 30 years Mbelezzz. Again I am humbled na this respect and please pata nakala yako usikose kusoma my history na my life in general and how I became a big Celebrity in just 3 years za kurudi bongo, ujumbe wangu kwa Diaspora wenzangu ni kurudi bongo sio death sentence ingawa maisha ni popote U know!! - Le Mutuz

0 comments:

Post a Comment