Tuesday, February 3, 2015

BAE NDANI YA JIJI

bibi na bwana
Hajat Zee


  1. Bibi na bwana wameoana? King mbona ataumia.

    Reply
    Replies
    1. UNAJUA MAANA YA HAJATI SINTAH , HAJATI ULITUMIE KWA SIFA ZAKE SIO MPAKA KWA WATENGENEZA PICHA ZA UCH*****
      MWITE WIFIYO AU SHOGA YAKO
    2. Utakoma!!
    3. daaah wapi haters wamepiga kelele wametukana matusi yoote lakin wapiiiii mwaka wa kulamba chokaa huu
    4. zar mzuuuuuuuriiiiiiiiiiiiiii hatareeeeeee
    5. wifi twende nyumbaniiiiiiiiii
    6. mi nakupenda zarmama angu napenda ustaarab wako kama kim kardashian vileeeee.
    7. unajua maana ya hajat wewe katonta waheed usiingilie mambo kwa kukurupuka tu kama cha kwanza. Hata malaya wanaitwa hajat waulize wanaojua maana
    8. aaah..shikwambiii
  2. Huyu dada ni mzuri jamani! Sijui uzuri huu ni mpaka chini kwenye server. Kweli diamond anafaidi, ndiyo maana king lawrence wivu unamshika, maana anajua diamond anafaidi. Nitampata wapi mie km huyu wa diamond, nitamjaribu sintah naye nahisi ni mulemule km zari mpaka kwenye server.
    Reply
    Replies

    1. Sinta achia koment unanipa hasiraaa TAKO LAKOO!!
  3. Ewaaa wataelewa tu,kishikwambiiii,wifi karibu sana mungu awajaalie kheri
    Reply
  4. Bae my ass, kumbe unapitaga pia eeh! Nyoko
    Reply
    Replies
    1. kama wewe ulivyokatiza huku...nyokoleeeee wewe!!!
  5. Mwal nyerere alijisemea akuna kitu kibaya kama kuwa na udogo wa kufikiri sasa dog mavi ulimtoa zari kwenye video ya x mbona hakupanda ndege kuja bongo leo hbr zako za kikuma zimlete kama unasubiri waachane chukua kiti kabisaa maana miguu isijeingia tumboni najic una mironjo umpe na bos wako kiti milonjo isije kuingia tumboni kwa kusubiri dai amwache zari
    Reply
    Replies
    1. yamewashuka naona ata sahv washabiki wanawakimbia watu wengi wanampenda na kumkubali zari hatujajua kama nae ana tabia za wadada wa mjini ila naona ni mama kwahiyo atakuwa ametulia..bi mdashe analo mwaka huu matusi yote waliyotukana mtandioni hamna kitu!!!!!
    2. Dogiguruwe akili fupi kama swala...alaf mnajua ile team ushuzi ndo wameipaisha sana hii couple kuzidi kuwadiss.ndo.kuzidi.kuwaongezea followers watu wakazidi.kuwapenda
  6. Sintah usiharibu bana, Hajjat ni title kubwa na takatifu kwa yule tu aloenda kuhiji. Sasa Zee hiyo title bado bana. Kiroho safi tu wala sio hater mie
    Reply
    Replies
    1. Kweli kabisa mamii,na isitoshe Zee alibatizwa sasa wakristu na uhajat toka lini,
  7. life is too short for complication!!! everybdy live ua lives...
    Reply
  8. Kapendeza mwenyewe naskia anarud kwenye uislam diamond kweli sukari ya warembo et jaman kishkwambi maana yake nin
    Reply
    Replies
    1. Kiislam mtu akiwa muislam alafu akatoka kwnda dini nyingine haruhisiwi kurudi uislam hata akijiongopea mwnyw ni buure maana kwa mungu sio muislam na hata wakifunga ndoa ya kiislam haihesabiki kama ni ndoa halali wataendelea kuzin.huyo zari alikuwaga muislam akatoka akawa mkristo so haruhusiw kuwa muislam ata kama anataka.so diamond kama anaijua din yake hawez kufunga ndoa isiyojulikana kidin yake kama ndoa halali kazi kwake diamond!
    2. mie sifoni ubaya anarudi kwenye dini ya mama yake...ata mimi nampenda mama yangu sana na ndio maana narudi kwenye dini yake...inaelekea familia ya wakwe zake haikummkubali atafanyeje mdada wa watu wacha aende anakopendwa
    3. wer shouger zelmina usidanganye watu ni wapi kwenye uislam walisema haruhusiwi kurudi ? acha kuongea upupu wakati dini yenyewe hujui uislam haumkatai mtu yoyote ukitoka ukirudi sawa tu
    4. ni kweli ukishaukana uislam huruhusiwi tena kurejea.
    5. uislam uislam heb tutoleen hapa din za kichaw
  9. Naomba kuuliza BAE ndo nini
    Reply
    Replies
    1. Before Anyone Else
    2. B-BENJAMIN
      A-ALL DAY
      E-EVERY DAY
    3. Bae ni kama unavyoita baby, dia au swetie..

      Ila sinta hii picha ya zamani alivyokuja bongo maana kama amekuja Jana bila shaka picha yako na wifi zee icngekosa
    4. Na wewe si unae google jamani?uni google unataka jibu.maana yake ni baby
    5. ni kifupi cha babe maimuna
  10. Sintah achaga kushabikia ujinga mpka unakufuru Mungu Unajua maana ya mtu HAJAT?
    Reply
    Replies
    1. hajat maana yake matako
  11. At least sasa tutaanza kuona bata zakomaana dada hutoki out mpaka boss aje ubebe pochi, am looking forwad wapige picha na Esma maana sijawah ona wamepiga picha
    Reply
  12. kha!! Dai kanasa kwenye tundu Bovu kuoa huyu ajuza menopause.....
    Reply
    Replies
    1. hao waliopita wanasema hawana uzazi wamekiri wenyewe kwenye instagram hawana uzazi ndio maana wanaadopt vi wow wow wow kheri yake huyu ajuza atamzalia mwana na hiyo menopause unayosema weye malaya kenge kwendraaaaaaa uko!!!
    2. Ajuza mama ako na dadazako kumamayo.mkome zari katibu kisonono chako sugu
    3. Ajuza mama yako aliyekuzalia matakoni. Na tundu bovu ni uchi wako uliolegea mbwa koko we.
    4. Na aliyekwambia aliye kwenye menopause ana uwezo wa kubeba mimba nani?
    5.  WOTE MNAOMSEMA ZARI MMEFULIA AOOOOO KUMAMAEEEEE HABARI NI WIFI TU,CHAMBENI LAKINI HAMBADILISHI KITU NYIE WASAKAYONSA TEAM USHUZI KUNUKA.HUKU KWA SINTAH NI ZARIMOND TU.MTAPAYUKASANA KM NJITI MWENZENU MKOMAE VIZURI KM KIGAGULA WENU KASHUPAA KWA CHUKI NAVINYONGO.NA BADOO VITAPIGA HAZAD SANA  HAMNA KONYOO NYIE TEAM MIREMBE,TEAM MICHIRIZI,TEAM UPUPU,TEAM VIGODORO,TEAM KUROJEKA,TEAM KULENDEMKA WAPI MKONGO OYOOO SALAM KWA HUDDAH WEWEIYAAA
  13. Dai hapo pichani anaonesha Ana MAWAZUUUUUU ya kuingia JEHANAMU.....haha ha ha ha FULL MAWAZUUUUUUU..
    Reply
    Replies
    1. team michiriziii hamchoki tu kukatiza mitaa hii mtaa wa pili hakuna ishu? au mmechoka kuchambana???
    2. JEHANAMU UTAENDA WEWE KWANZA MWENYE HILA NA HUSUDA ZA FITINA UMEAMKA ASUBUHI NA KUANZA KUFITINI WATU WE NDIO UTAENDA KWANZA MUONE SURA MBAYA KAMA ROHO YAKO!!!! MXIUUUUU
    3. Usihukumu kabla hujahukumiwa!!! siku ya siku unaweza kujikuta mwenyewe jehanamu na usimkute huyo diamond unaemuona mwenye dhambi sasa hivi.
  14. Huhuuuuuuuuuuuuu!!!!!!! Eeeee jamani ama nimefurahi kuskia hii habari lol!! Watu weweee watu wenye Wivu wakafie mbaliiiiii!! Sasa yametimiaaaa kila la heri chibu dangoteee! Mi nlikuwa cmpendi chibu lkn nmejikuta tu cku hizi namkubaliii!! Zari our wiiii karibu ukwenii!!
    Reply
    Replies
    1. weeeeeeeeeeeeeeeeeee movie imenoga sijui mwisho itakuwaje
  15. Hapo zari atakuwa anajidanganya kurud kwny uislam maana hauruhusu mtu ambae ni muislam aliekuja kubasilisha sini kwda nyingine isiyo ya kiislam alafu akaja kurudi tena kwny uislam.sasa kama alikuwa anataka kubadilisha din ili ahalalishe ndoa ya kiislam ni kazi buree cz hata wakifunga ndoa ya kiislam haitahesabika kama ni ndoa halali na watakuwa bado wanazini na ni mahawara maana mmoja wao si muislam kwahyo diamond kama anaijua dini yake vizuri haruhusiwi kumuoa zari.so kazi kwake atampenda mungu wake au atampenda zari zaid?
    Reply
    Replies
    1. Naomba mnieleweshe, yaani mkristo anaruhusiwa kuwa muislam, lakini muislamu aliyebadilika kuwa mkristo haruhusiwi kurudi kwenye uislam? How come???
    2. WE NAWE MPASHIKUNA KAMA NAKUONA ULIVYOKALIA KIGODA CHAKO KILICHOMEGUKA UNATOA HUKUMU KWA MWENZIO...HAYA BASI DIAMOND AJE KUKUOA WEWE MXIUUUUU WIVU TU UMEKUJAA MWANAMKE UONI ATA AIBU KUNYOOSHEA WENZIO VIDOLE WE MAISHA YAKO VIZURI....KWENDRAAAAA UKO SIJUI WEWE NDIO MKE WA USTADH;AKITAKA USHAURI DIAMOND ATAENDA KWA USTADH NA WALIMU WA DINI NA SIO WEWE MALAYA KAUZE K UKO KWENDRAAAAAAAAA!!!
    3. Uislamu gani huo? Mungu anasamehe hata umkosee Mara 10000! Umekuwa mungu wewe kuwahukumu watu? Mimi ni muislamu lkn sijawahi kuisikia fatwaah hiyo
    4. Kuna vinegar nandimu ya unga inafaa nikuzawadie bure,maana hater wewe kajambe,kaharishe,katapike halafu Kanye maamayo hapo juu.nautaumwasana dawa hakuna
    5. We nae usiwachoshe. Uislam uislam utadhan we Mungu. Acha Mungu ndo mwamuzi wa kwel sio nyie mnaokariri dini za waarabu
    6. ishia kule na wewe ina maa maana Mungu ana kinyongo? kisa ati alikuwa muisilam sasa haruhusiwi kurudi ili iweje? ina maana Mungu kamaind au?
      hizi dini zililetwa na wanadamu hizi mnatisha nazo watu kwenda kulee atia atakuwa anazini no wonder visasi deile kuuwana albin kisas haku ndo zenu hizo.
    7. Hee We nae umekazanaaaaa. Pyeeeeee hebu tutolee sheria zenu hapa kwa hiyo sasa ulitaka wafanyaje Heeeee mxiuuuuuuuuu!!!!
    8. Wewe neio unajifanya unaujua uislamu kuliko mashekhe na mawalii. Nani kakwambia kuwa hairuhusiwi kurudi kwenye dini ulioyotoka. Kakojoe ulale paka mapepe we.
    9. Sio kweli jamani mbona mnaongea vitu vya uongo?? Ni hv ukiwa muislam ukatoka ukarudi then ukatoka tena ndo huruhusiwi.
    10. uwii wadau asanteni kwa kumchamba zelmina nimechekaje sasa anaongea utafikiri mungu mjomba wake zelmina ndio wale vilaza walikimbia kusoma madrasa uislam jina tu wakichanganya na ugumu wa maisha gafla anajifanya na yeye mungu anaanza kutoa hukumu eti uislam haumtaki khaa mijanamke rudi ukajifunze hata alifu kwanza ndio urudi
    11. Msimnange aliyesema kwenye uislam ukitoka umetoka. Fatwa ya anayetoka uislam ni kupigwa mawe mpaka a rest in peace. Hivyo kwa kisasa kwa kuwa hilo halitekelezwi basi ukishatoka ndio umetoka unasubiri hukumu yako tu siku ya mwisho ila hakuna kurudi nyuma. Mwenyezi Mungu kaahidi kuwa anasamehe dhambi zote lakini sio shirki. Hivyo maadam umeamua mwenyewe basi kidunia unafaidi ila kwa Mungu unasubiri hukumu yako
    12. anon 10:37pm token hapa na lidini lenu la mme mmoja wanawake 1000000000000 Mxyuuuuuuuuuuuuuu
      uislam uislam msikitini hapa
  16. Zari mzuri subir ukurutu arudi hewani tutakaa sijui wameblock liblog lake km anavyoblock account za watu insta....baba alikua tajir alikua tajir so what?
    Reply
    Replies
    1. bora waliblock watakua pia wanamsadiia manake hapati ata muda wa kulea watoto na kufanya biashara yake amekalia fitina tu mama ubaya!!!
    2. Si uweke na wewe utajiri wa babako. Na kama anakuboa unafata nn kwake? Unamuadmire ila unashindwa kusema na ndo kashasema hatafulia never ever, upo! Website inalipiwa hyo sasa subiri eti ifungwe hehehehe lione kwanza.
    3. wee msukule 2:45 unavyozidi kujibu ndio furaha yetu ya kuchamba tunauhakika message inawafikia au kwa kizungu message deliver kwii kwii
    4. we anony 2:45 we ndo tukuulize umefata nini huku.nyie c ndo mahaters wenzake mkiwa kule mnamtukana sintah weee mara muite sinta.com ni kiblog mavi.sasa unafata nni mnafki wee.kwenda zako bwege mmoja wewe.
      et mawazir.na wewe cnta ma comment yao ya kumfagilia boss wao uwe unayabana na kuyadelete coz lile janamke lao linabaniaga comment za wanaomchamba.wewe uliona wapi comment zote zakusifiwa tuu wakat kuna lundo la watu hawakubali ujinga wake.
  17. hy khalat zari,wallah mmependeza sn,naomba Mungu alete uhalali wa mpz yenu(muoane)
    Reply
  18. alafu sintah umefanana na zari sura.
    Reply
    Replies
    1. mmh sinta kwa kujifananisha bwana na zari .. haya mama umefanana na zari miguu nenepa sasa mfyuuuuuu
  19. Na mie nauliza maana ya BAE maana kila siku misamiati mipya bora kujua ili nisije onekana mshamba bure mbele za walimwengu
    Reply
    Replies
    1. Maana yake ni Before Any one Else
    2. siku nyingine muwe mna google jamani mbona unapata jibu fasta hadi na mifano utamke vipi kwenye sentesi. my sweet sweet ngololo, my baby baby ngololo.
      ebu sintah tuwekee kile kikoras kipya cha diamond.. namupenda mupenda.. zariii… namupenda muganda zariiiii… aah kitamujeee?
  20. alivyokuwa na Ivan alikuwa mkristo,sasa muislamu? mbona anahaha kama anataka kutolewa nafsi,hahaaaa kujipendekeza kwiingi amuulize penny kwanza
    Reply
    Replies
    1. Ameolewa mnasemaaaaa!!!! Na asingeolewa na chibu c ndo matako yenu yangepiga filimbii!! Pumbavu hamna akili kama njiti!!
  21. SINTA LEO UNATAMANI BLOCK IJAE, WIKI NZIMA ULIKUWA DOROOO, NYOO MJAA LAANA HAWANA TENA KIKI HAO. DOMO KASHAUZIWA MBUZI KWENYE GUNIA.
    Reply
    Replies
    1. Nenda kajipendekeze na ww chibu akuoe labda utasema chibu kauziwa dhahabu hadharani!!! Ndiyo c dini yenu inaruhusu!! ROHO YAKO INA GANZI WIVU TUU!! C IFIKE KIPINDI MKUBALI TUU MATOKEO WHY MNAKUWA HIVI??? VICHAWI NYIE!!!!
    2. Kama vipi kaolewe ww ndo tujue chibu kauziwa gold hadharani!!hawana kiki lkn c umeona mwisho wao ulivyo mzuri utabaki hivyo hivyo na Chuki zako huji kufanikiwa ng'ooooo!!!
    3. we nae eti BLOCK andika kitu kinachoeleweka
  22. Sinta ukiona mafala wako hawatajwi unaumia eee, shangazi anawasiwasi na Wema kutwa kiguu na njia anafikiri kapaaata kumbe.....
    Reply
    Replies
    1. KADINYWE NA VICHAA HUKO MBELE!!! UMEUMIA WW BAADA YA KUSOMA HII POST!!
    2. YANI MWEE!!!! ZARI KAZIMA NYOTA YA MWAFUDENGE JIIIIIIIIIII!!! SAIZI HAKUNA CHA NYOTA KALI WALA RELI NDEFU. HUHUUUUUUUUUUU!!!!
  23. Kwani ulitaka asije sinyege zishamshika razima aje chibu amkune si Ana rambo Dai Ana muwa
    Reply
  24. kweli zari bado hajitambui hivi ukipata bwana dini nyingine na yeye huko, ukiachwa ukimpata mwingine nae huko, huu ni unafiki tu. anatumianguvu nyiingi wamzungumzie na pua honi apate komments nyingi.
    Reply
    Replies
    1. Sio mbaya karudi kwenye Dini Yake ya awalii wanawake wengi mbona wanafanyaa hivyo na ni mapenzi hayo ndio hivyo keshapendaaaaaaaa
    2. Mapenziiii ni raha kamani
    3. Weka hapa picha ya pua yako tuione shenzi, ngoja likupate la kukupata pua isagike ndio utaitamani hadi hiyo pua ya Sintah.Usitukane kazi ya Muumba tukana kazi yako!!!
    4. Kwani amekwambia amerud uislam makalio yanakuwasha nyambafu
  25. Kwa kweli acha watu wanaopendana kwa sababu zao wapendane
    Mungu saidia zarimond waendelee wakati bibie kichaa bado yupo kwenye dozi maana akirudi huku yani ataandika nadhani this time ni full article ya kumchamba zari na kibaya zaidi huwa akiandika ubaya wa zari anajitahidi kumlinganisha na wema kitu ambacho ni kama anamdhanlilisha mtoto wa watu
    Wema aendelee na yake, zari na diamond nao waendelee na yao Mungu hold kile kichaa kwa muda hawa watu wapumue
    Yani sielewi akiibuka na zari anaibuka na lipi
    Reply
    Replies
    1. Cha ajabu pamoja na kuchambwa kote huko zari wala hakujibu kitu kakaa kimya na nina uhakika Sintah alimwambia alivyochambwa.
    2. kwii kwiii well said mdau aliyepoteza funguo za mirembe aendelee kupotea tuu
  26. sinta unajisumbua bure unafikiri Wema ana habari na kizee cha miaka 41+. fanaya yako mama ushambenga utakuuwa mdomo wazi, Laanatul llah.
    Reply
    Replies
    1. Sasa hapa wema ameingiaje?!!! Kund... Lako lina ganzi!!!
    2. Sasa na wewe huyo Wema katajwa wapi hapa? mzee kakuzalia mamaako?
    3. tupishege huko hata kama Zari ana miaka 41+ si unamuona anavyolipa. mbichiiii, kigoli
    4. atheee.. yani kila sintah akipost picha ya zar watu wanamtukana wanasema anamtesa wema. kwahiyo wema kaingiaje hapa.yani sinta asiweke habar za zar kisa wewe humpend zar..inferiority...nyoooo .. ZARI HOMA YA JIJIIIII
  27. wewe unajua maana ya Hajat au unajisemea tuu
    Reply
  28. Naona dogo yupo yupo na ajuza. Mapenzi kweli wendawazimu. 41 yrs na 27 yrs dah, kweli dunia vururu - vurururu.
    Reply
    Replies
    1. Ajuza wewe mwenye matakao yaliyolegea kama chapati za maji mbwa we.
    2. Kwani na wewe umekatazwa kuwa na Serengeti boy? tafuta wako mwenzio ndio keshajiopolea.Huyu ndio mwanamke wa kwanza duniani kumsikia anatembea na wanaume wadogo? usishangae ndio dunia tunayoimalizia ya mbeleni huko anajua Mola.
  29. BAE maana yake ni Before Anyone Else
    Reply
  30. Nakuomba sintah ufute hilo neno hajat kutumia neno hajat kwa mtu mkristo ni kuudhalilisha uislam hilo ni jina kubwa sana kulipata hulipati kama hujatubu nyumba ya Allah mapenzi yako usidhalilishe uislam
    Reply
    Replies
    1. eeh shouger kitulize kulee usituletee mihasira yako ya udini hapa hakun dini yoyote iliyodhalilishwa kajambe kulee jiangalie na wewe ukatubu upunguze jazba zako upupu mxiuuu usitukere sisi
    2. Mungu anawapenda watu wote.February 1, 2015 at 8:03 AM
      Usiimbe upewe umaskini wa fikra, ndo wewe bi shoga u have long way to kwenye hii morden world.. usitucheleweshe sisi...... Wee ni nani kuona wenzio Wana dhambi na wewe ni msafi? Dini zina wa brain wash mpaka mnaongea nonsense... Mfyuuuu
    3. anony 2:46AM hebu tutolee ushuz wako sasa neno hajat umeona dhahab kajambe mbelee nenda kalinunue ulimiliki mxyuuuuuuu dini dini ..dini your black ass
  31. We Zelmina Nuhu kajambe mbele kule, kujitia unaijua din et ooh hata wakifunga ndoa still watakuwa wanazin, wivu tu umekujaa halaf unatumia din kushow miwiv yako, kalambe ndim kuleeee.. As long as ndoa ishapata baraka za mashekh na family there is no kuzin. Zarimond
    Reply
  32. sasa hapigi picha na mawifi, kutwa na Domo ? au anawaonea wivu na mawifi au hawamtaki wanajua mashauzi yakiisha atakituliza na atanyoa msitu wa congo
    Reply
    Replies
    1. Vp kwani ww ushajiosha vizuri huko chini au ndo unayaona ya zari tuu!! Mwaka huu hadi muumwe vidonda vya tumbooo!!
    2. Ndugu unaonekana hujui tabia za wanawake wa kiganda wakiwa kwenye mapenzi muulize Sintah.
    3. mtatafuta visingizio vyote na badoooo maminerrrr
    4. kwani anaolewa na mawifi au Diamond. lione domo limekulegeaaa. ndo nyie ukiwa na mtu una kazi ya kujikomba kwa mawifi ili japo upate ndoa
  33. uso na kope za kubandika, chungulia chini uone mivuzi meusiiiii.
    Reply
    Replies
    1. Kama ya mama yako.
    2. sasa ulitaka mavuzi yake yawe ya gold kwani mzungu huyo? mwenzetu kwani mavuzi yako ya rangi gani? mnajidai wasafiii wakati wengi wenu humu siku ya kwenda kudinywa ndo mnanyoaga hamna lolote wote mule mule.

      kirohoni mnajijua fikaa kuwa nyie sio wasafi kivile hata msemejee zari mzuri sanaa with or without makeup analipa sanaa.

      wengine huku hata mkipaka make up sura zinadunda so wote make zinawakubali muacheni zari kwanza hamumjui bendera fata upepo tuu nyumbani kwake stress free kuzuriiii hakuna madumu wala mitungi ya maji .wenzangu nyie stress tupu vibatari madirishani.. mjiko la mchina uvunguni mix na mapanya yaani mna dhiki nyiee mnataka mumshushe zari kwa kipi hasa?? na usafiri wenu wa bajaji bin daladala nyooo sizitaki mbichi hizi.. mtajinyeeeee… pilipili washaaaaa
    3. Kwa hiyo? We mbona umebandika matako hatusemi?
    4. anon 4:13AM poor youu
  34. Aaaah ,mashallah
    Reply
  35. hawana kiki mjini, Sinta unakazi ya ziada Domo anaimba taarabu na bi kizee bado anaomba mkopo kwa big big money.
    Reply
    Replies
    1. Hebu tutolee ushuzi wako wa maharage mabichi hapa!! Kwani ww unakiki ??? Una akili kama za bosi wako yule kigalula njiti tunajua tu ni ww kokuuu!!!
    2. Hizo kiki ndio zinaleta hadi ugomvi ni bora hata watu wawasahau kabisa kila mtu ashike hamsini zake kwani mwisho wa siku hata pesa ya dagaa hawatuletei wanakula wenyewe.
    3. anon 5:21AM poor poor poor poor youu
      ptuuuuuuuuuu
    4. wewe hata ya prdi huna si bora Zari ex wake anapesa, na lazima anampa za matumizi ya kila mwezi au mwaka na za watoto anapokea.

      weye kaa ufikilie utaishije.

      ndoa alifunga na kuachana tabu ipo wapi? mashemrji nao lazima wamtunze mama wa watoto wa bosi/ndugu yao.

      wivu.com umekujaa

      sasa kama wewe uliachika na kuambulia pesa ya uji au hata ya kununua pedi haupati achia wenzio wapae nawe utabarikiwa. wivu unaua.

      soma stars wa ulaya na watu wa kawaida waume uwapatia pesa za mahitaji period. kama bosi alimpa aliyemfunza gemu ampe mama watoto akawa anasubiri au chochote ni maisha yao, vinakuhuuu nini

      sipendi wenye wivu kama wewe sababu ya tamaaaaaaa

      olewa na mwenye pesa achika uone raha yake kama unajua haki yako.
    5. Kwani walikwambia wanatafuta kiki uwasaidie, yako yanakushinda kazi kufatilia ya watu na wewe utakuwa ni yule aliyeandika komenti kama hiyo huko mtaa wa pili.Kama humpendi si upige kimya kwani lazima umalizie kisirani chako hapa? na huo mkopo mbona una wasiwasi nao unamsaidiaga kulipa? mwache akope ni maisha yake.Mtu mzima ovyooo!! bi kizee kwani kakuzalia mkweo?
    6. Wangekuwa hawana kiki wewe usingeiandika hiyo comment yako hapa. Malaya mstaafu we tunakujua.
  36. Pendeza sanaaaaaa
    Reply
  37. Pendeza sana. Zari so Cute
    Reply
    Replies
    1. khaa hukosi cha kukosoa!!! weka msura wako uliobabuka na cream za bei rahisi umekomaa na mikunjo kibao
  38. Hapa Ndo Sura Ya Zari imeonekana kuwa ni aged.
    Reply
    Replies
    1. Kama wewe.
    2. Eheeee safi sana mana ww utastay young forever huji kuzeeka
    3. Weka yako hapa tuione
    4. dont worry ukimwi ukipita pembeni baasi na wewe siku moja lazima utakuwa mzee tu. hata bibi alikuwa mwali. ni hayo tuu
    5. Get well soon. Wivu ugonjwa mbaya sana.
    6. haloo hater bado mmo tuu pamoja na za uso zooote.ngoja nikuongezee na hii.kanunue sumu ya panya kabisa
      ..nampenda mpenda zaaaaaaarrriiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
    7. wivu.com

      yako lazima kama ngozi ya mamba.
  39. alafu hawa haters nikutoka kwa mama mashauzi wa la.kwendenihuko mtaa wenu wa pili kulikojaa uswahili kazi kutukanana so msituletee upumbavu weu shenzi type.kwani diamond haoni hayo mavuzi? kazi kushadadia mavuzi wakati dai ndo anayainjoy.stress tu ndo zimewajaa za mawivu.hatuwataki huku and msije mkamuweka queen na king wetu kwa blog yenu ya kipumbavu.
    Reply
  40. Nyie mnaosema age difference embu kitulizeni huko mnona mercy galabawa kazaa na kitoto kidogo hamwongei watz wanafiki sana
    Reply
  41. aged na sura yake ni sawasawa chezea uzee, anajipamba saaana aonekane 27. na shoga big pua anatamani aolewe. toka lini wamanyema wakaoa msukule kisa mimba mtajifariji sana nafsi zenu..Domo akishapata anayoyataka anasepa..
    Reply
    Replies
    1. Kama Zari mzee na huyo michirizi wenu aliyezeeka kabla ya kuzaa mtamwitaje. Wivu.com mtakoma na ndoa ndio hiyo ishafungwa. Huyo michirizi wenu akak PUMZIKO LA WASTAAFU aendelee tu kule vizee.
  42. alafu nyie wapumbavu mnamshauri zari na diamond toward each other kwani hawajui kuwa wanajijua wako kwauhusiano gani?get lost nyie mtaa wa pili na team wema msituletee jam.ndo hivyo project imeshakuwa real project.msituletee stress nzenu za wema kutokuridiwa tena na diamond.kwani si ndo nyie mlimshawishi amteme diamond?sasa kilio cha nini?,mlitegemea kuwa diamond angechukua type ya wema tena? sorry what do u expect such an big artist?lazima angechukua his real type! classic,million time beautiful than x,and brain of thinking higher capacity.and last msilazimishe kuwa zari ni 41 yet u all know kuwa she is 34 years.take ur stress kwa waswahili wenzenu kazi kutukanan kila siku hatuwataki huku.get lost losers.
    Reply
  43. Yaani nimefurahije kama kweli wameoana. Ee Mwenyezi Mungu nakuomba umlinde Zari na Diamond kwenye maisha yao ya mke na mume. Mahasidi wote wenye husda washindwe na walegee. Penzi lao lidumu milele na milele. Amin. Jamani huko mtaa wa pili kwa njiti aliyepata na kichaa sijui kukoje maana Zari alivomkaa kooni kama kidaka tonge. Habari ndio hiyooooo. . Poleni njiti wa kwa obama na mdogo wako tulizo la wastaafu.
    Reply
  44. Wamirembe siwakakae mirembe kwao huko,mkachambane huko kwamla zege?huku mmefwata nini mapumbu nyie,ooh zari vile,mnatomboka kama mmeona moto ghafla,no wonder mtakuwa mmefanana na ajuza wenu aliekomaa kama kazaa kijiji.naangekuwa mzuri anatizamika angalau ila muumba alijua tu akamuumba amechoka fastafasta kilakibaya kamtupia halafu kamsukuma nendahuko,humtizami marambili zimwi sizimwi ndiomkashindekule kwa zimwi lenu nyie mnaomsema zari,maana mnamzalilisha zombie wenu stress mbaya nabadoo
    Reply
  45. Ushawahi kuona aged women? sidhani kama hiyo sura unaweza sema kazeeka.
    Reply
  46. Hivi ikitokea diamond umaarufu umeisha, zari utaendelea kuwa na chibu kweli mh nmewaza tu maana masupeestar true love zao utazijua wakifulia!
    Reply
    Replies
    1. hebu muache Zari huko, we bwanako akitolewa uenyekiti wa mtaa wenu huku makwengembule utaendelea kuwa nae!!!!
  47. SINTA HV UNA KICHAA HEBU ACHIA COMENT !!!! MXIUUUUUUU!!!
    Reply
  48. Hiv mmemuangalia vzr wema kidevu (uso kwa ujumla) mbona unashuka unamomonyoka vile?
    Yani maskini anaumbo baya kwa umbo lake asingechomwa masindano ya kurekebisha sura na shepu manake hips pia zipo mbili saiv na matako yanamomonyoka..kwa kifupi amezeeka tofauti na umri wake hata dada zake wazuri kuliko yeye...
    Kwenye ile i her shoes sikuizi hamna la maana anaonekana kabisa hana raha tena anacheka havichekeki anajitabasamisha hamna kitu duh!! Yule dem anahali mbaya jaman!!! Na nyie team team acheni kutukana watu mnafanya mamaenu anatukanwa mpaka anakosa raha...
    Videvu vipo viwili michirizi mwili mzima ngozi mbaya anaenda china kujitengeneza ila waaaapiii!!!
    Kwakweli pole yake angebakigi vile vile alikuaga mzuri sana saiv hata 30 hajafika anaonekana 45..
    Reply
  49. kweli zari ni ajuza, cheki mashavu yalivyomdumbukia hicho kikongwe cha domo. ukiamua bana au achia uamuzi ni wako lkn ujumbe peleka kwa mlengwa
    Reply
    Replies
    1. Kama wewe mashavu ya uchi wako yalivyokushuka kwa kutiwa hovyo na kila size za dushelele.
  50. Mama swiss anakonda jamani mumuonee huruma mwenzenu
    Reply
    Replies
    1. Yaani mama Swiss mpaka anatia huruma. Amefubaa, amekonda amebaki kuvaa magauni marefut tu utadhani kaokotwa. Anajuta kumpa Chibu likizo. ha ha haaa. Likizo ya Chibu imeleta neema maana imemfanya Chibu apate mke mremboo Zari aka Mrs. Diamond.
  51. Mumuonee huruma mama swiss jamani.... by the ways its a Nice couple
    Reply
  52. sintah usipende kucheza na dini za watu unajua maana ya hajat, hana sifa ya kuitwa hivyo mpaka aitimize utakujwa kuumizwa bure sifa hazifai,
    Reply
    Replies
    1. sasa ataumizwa na nani Islamic State au hezbolah au bokoharam
      kwendraaaaaaa din my black ass
    2. Kumamakoooo
  53. Muacheni Zari na Imani yake mbona hao waislamu wanao swali sala kumi kwa siku ndio wana behead binadamu wenzao kama kuku na mengine mengi mbona Hama wafunza chuo ndio wanaobaka watoto. Don't judge kujifanya wewe ndio unajua dini kupita wenzio wewe kama muislamu unayemjudhe Zari umetoa mimba kambi, umecheat wangapi? Mungu wetu ni wa kusamehe na anaangalia roho ya mtu. Stop hating and judge others, judge urself first
    Reply
    Replies
    1. daaah mi nilikuwa muislam i mean ukoo wangu dini inakandamiza wanawake ile jamani..kuchinjana vichwa au kumpiga mwanamke mawe kisa kazini ni kitu cha kawaida wakati mwanaume anakubaliwa kuzini kwa kuoa wanawake zaidi ya mmoja..mmh nikaona huku siko sawa huku..chakuolewa ukewenza et kisa din dini yenyewe nimezaliwa nimeikuta cna uhakika nayo kama ya kweli.. nikaona njia ya ku escape ni kuolewa na mkristo nilipigwa vita vibaya waliposikia mume wangu ni the don woote kimya walikitulizaa saiv ndo wanakuja kwangu kuomba misaada.shkamoo pesa

  54. haya team upupu oooh Wema michirizi, michirizi ya domo mmeiona tena ya kwenye kwapa, msinyoosheee wenzenu vidole wakati vingine vinawatazama wenyewe.
    Reply
  55. haya team upupu oooh Wema michirizi, michirizi ya domo mmeiona tena ya kwenye kwapa, msinyoosheee wenzenu vidole wakati vingine vinawatazama wenyewe.
    Reply
    Replies
    1. asante anonymous at 2:06pm
    2. stress zitawaowa una mijuso ilivyowashuka hallooooooooooooooooo
      nampena mpenda ZARIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII
      ......wapi MOND bin Laden ........
  56. Kha jamani ZARI mzuri nyie in Mkude's Simba voice! Mtaa wa pili make up zinadunda anachekeshaje wapambe wake wanavyomsifia sasa nacheeka sijui wanamjoke hawamwambii ukweli make up zinataka Na sura nayo iwe imtulia jamani khaa! Ndiyo maana Anachanganyikiwa akiwaona wenzie aged lakini sura zimenyooka.
    Reply
    Replies
    1. hahahaaaaaaaa mdau umenichekesha weye
    2. nimemchamba yule bibi wa mtaa wa pili hata halijaachia comment zangu kama yeye iron lady kama sintah aziachie nyooo misifa imemjaa kwanza yule sio mpare yule atakuwa ametoka kusini mwa tz..kwakina uncle nchumali
  57. heheheee napita tu jamani....ila kweli zari ni leumemez..mzuri mnoooo
    Reply
  58. what is so special about this diamond fella that makes women try so hard. anyways to each their own
    Reply

0 comments:

Post a Comment