Posted by Williammalecela.com on Tuesday, February 24, 2015
 |
"Jambo
- kuna watu wengi sana wako kwenye list yangu ya friend request ambao
hawajapata nafasi ya kuwa marafiki zangu - sasa kuna hawa ambao tayari
marafiki zangu hawapendi picha zangu
wananiambia nitachomwa moto mpaka
vidole kutoka na picha zangu na wengine wana niambia thamani sina
thamani tena sasa sielewi kwa nini wanakua marafiki zangu wkt
hawapendezwi na vitu ninavyo penda ? Okay sasa nita wa unfriend ili
niwape nafasi watu wengine, na wewe ulie baki Kama hupendezwi JI
unfriend na mm ili uweke wazi nafasi kwa ajili ya rafiki mwingine -"
|
0 comments:
Post a Comment