Posted by Williammalecela.com on Tuesday, February 03, 2015
MPENZI
wa staa wa Bongo Fleva nchini, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' Zarinah
Hassan 'The Boss Lady' amemtakia heri ya kuzaliwa wifi yake Esma kupitia
akaunti yake ya Instagram huku post yake ikizua jambo kwa mashabiki.
Zari.
0 comments:
Post a Comment