Mbunge wa Vunjo Dkt Augustine Mrema (TLP) ametoa shutuma zake bungeni Dodoma akimtuhumu mbunge wa kuteuliwa na rais James Mbatia kuwa amekuwa akimpakazia mambo mabaya kwa wapiga kura wa jimbo lake kuwa ana UKIMWI
Ametoa kauli hiyo bungeni Dodoma na kusema "Napenda kusema kuwa mimi ni mbunge halali wa Vunjo na Mbatia hatapata jimbo hilo, na natangaza kuwa nitagombea tena na hafi mtu hapa"
Amesema ataendelea na shughuli zake jimboni mwake kama kawaida kwa kuwa yupo imara kiafya

0 comments:
Post a Comment