Tuesday, February 24, 2015



Senior Marketing Officer Access Bank Mr. Muganyinzi live at the party last night!!




Access Bank keki ikiwa katika muonekano wake 
Mpiga solo gita akifanya yake katika hafla




C.E.O wa AccesBank Mr. Roland akiwa na ma MC katika hafla kwenye picha katikati 

Meza iliyo andaliwa maalum kwa keki na shampain
C.E.O Access Bank akizungunzia juu ya maendeleo ya bank 
Aki kata kake tayari kwa kuwalisha viongozi wa Branch 




Akimlisha MC keki
Wafanyakazi wa Access Bank wakiwa tayari  kwa kufungua shampan

Baada ya kufungua shampan
Bwana Muganyizi katika pozi

C.E.O Access Bank akiwa na baadhi ya waalikwa waki furahi kwa pamoja
Watu wakijimwaga na burudani matata


C.E.O akiwa makini na stape 
Tuzo za walifanya kazi vizuri kwa mwaka 2014









C.E.O Access Bank Mr. Roland na seniour Marketing officer Muganyizi j Bisheko
Wakijianda na mahojiano na waandishi wa habari wa radio na televisheni




Seniour Marketing Access Bank akizungumza na waandishi wa habari live


Baada ya mahojiano walipata muda wakupongezana katika yale waliokuwa wamepanga yafikie kwenye malengo


Mezani palipendeza kupita kiasi
Wakati wa chakula

Le Mutuz alipofika kwenye the AccessBank party na mbebezz wake "Le Msomali" Super Ayani live last night!!

Lemutuzz le big show akiwasili
Seniour Marketing Officer akimkaribisha The big show Lemutuz kwenye hafla
Mtoa burudani kwa style yake ya kucheza na moto akiwa kwa stage



Lemutuz akiwa makini na kupata mawili matatu juu ya hafla

Mr DJ akiwa anawapa watu shangwe na watu wanashangweka barabara kabisa
Wafanyakazi wa Access Bank wakionesha vipaji vyao katika kumalizia hafla na kukonga nyoyo za waalikwa kwenye hafla hiyo.

0 comments:

Post a Comment