Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu na Utawala Bora Dk.Mwinyihaji Makame Mwadini akisalimiana na wageni waliohudhuria katika ufunguzi wa Kiwanja kipya cha Mchezo wa Gofu jana uzinduzi alioufanya kwa niaba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein katika Hoteli ya Sea Cliff iliyopo Kiombamvua Wilaya ya Kaskazini B. Mkoa wa kaskazini Unguja.
Picha na Ikulu
Mwenyekiti wa Kampuni ya Sea Cliff Resort and Spa Zamzibar Bw.Subhash Patel (kushoto) akibadilishana mawazo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu na Utawala Bora Dk.Mwinyihaji Makame Mwadini baada ya kufungua kiwanja kipya cha Mchezo wa Gofu jana alipomuwakilisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein katika Hoteli ya Sea Cliff iliyopo Kiombamvua Wilaya ya Kaskazini B. Mkoa wa kaskazini Unguja.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu na Utawala Bora Dk.Mwinyihaji Makame Mwadini akitoa hutuba ya ufunguzi wa kiwanja kipya cha Mchezo wa Gofu kwa niaba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein katika Hoteli ya Sea Cliff iliyopo Kiombamvua Wilaya ya Kaskazini B. Mkoa wa Kaskazini Unguja.
Msimamizi na Mtengenezaji wa ujenzi wa kiwanja kipya cha mchezo wa Gofu Bw.Peter Matkovich kutoka Afrika Kusini alipokuwa akitoa shukurani zake wakati wa sherehe za ufunguzi wa kiwanja hicho jana katika Hoteli ya Sea Cliff iliyopo Kiombamvua Wilaya ya Kaskazini B. Mkoa wa Kaskazini Unguja,
Baadhi ya wageni mbali mbali kutoka Ndani na nje ya Zanzibar wakiwa katika sherehe za Ufunguzi wa kiwanja kipya cha mchezo wa Gofu kilichofunguliwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu na Utawala Bora Dk.Mwinyihaji Makame Mwadini kwa niaba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein katika Hoteli ya Sea Cliff iliyopo Kiombamvua Wilaya ya Kaskazini B. Mkoa wa kaskazini Unguja,

0 comments:
Post a Comment