IMANI
za kishirikina? Mshangao wa aina yake umetokea nyumbani kwa Miss
Tanzania 2006 asiyechuja, Wema Abraham Sepetu ‘Madam’ baada ya kutupiwa
hirizi getini kwake, Risasi Mchanganyiko lina stori kamili.
nyumbani kwa mlimbwende huyo, Kijitonyama-Bwawani jijini Dar baada ya mapaparazi wetu kutonywa juu ya uwepo wa tukio hilo.
Wananchi wakishuhudia hirizi getini kwa Miss Tanzania 2006 asiyechuja, Wema Abraham Sepetu ‘Madam’. Tukio hilo lililokusanya watu wapenda ‘ubuyu’ lilijiri alfajiri ya Jumamosi iliyopita,
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

0 comments:
Post a Comment