Pichani ni moja ya Gazebo la AccessBank lililopo mtaani kwa ajili ya kutolea elimu kwa wananchi
kuhusu huduma za kibenki kupiia mawakala wake.
Baadhi ya maofisa wa AccessBank wakiwa kaika gazebo lao maeneo ya mwenge mpakani jirani
kabisa na mmoja wa WAKALA wa AccessBank iitwaye Magdalena Moses maarufu kama JK
Internet Café.
AccessBank.
Afisa wakala wa AccessBank akiwa ametembelea mmoja wa mawakala aliepo eneo la mwenge kuangalia huduma zinavyo endelea.
Wafanyakazi wa AccessBank wakiendelea kuelimisha wateja kuhusiana na huduma mpya ya AccessBank WAKALA.





0 comments:
Post a Comment