LEMUTUZ

Tuesday, March 10, 2015

APANGA CHUMBA, KUMBE NI CHOO, ATUMBUKIA!

Posted by Williammalecela.com on Tuesday, March 10, 2015

Muonekano wa chumba hicho chenye choo ndani.
Na Shani Ramadhani
HII nayo kali! Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina moja la Happy au mama Hassan, mkazi wa Mbande jijini Dar, wiki iliyopita yalimpata mazito kufuatia kutumbukia kwenye shimo la choo lililokuwa katikati ya chumba anachoishi kwenye nyumba aliyopanga, Uwazi lina mkasa wote.

Tukio hilo lilitokea wakati mwanamama huyo akifanya usafi chumbani humo na kujikuta akitumbukia kwenye shimo hilo ambalo awali lilikuwa la choo. 
Email ThisBlogThis!Share to XShare to Facebook
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)

TOTAL PAGEVIEWS

Popular Posts

  • LIVE: RAIS MAGUFULI ANAKABIDHIWA RIPOTI YA UCHUNGUZI WA MADINI
  • BREAKING NEWZ: BASI LA NGANGA LATUMBUKIA MTARONI KULIKWEPA LORI
  • THE UDAKUZ: WEMA SEPETU Vs WOLPER!!
  • IRAN NA MAREKANI WAZIDI KUIMARISHA UHUSIANO
  • PICHA YA KWANZA YA KANISA LA ASKOFU MTATA GWAJIMA BAADA YA KUKUMBWA NA BOMOA BOMOA YA SERIKALI JANA LIVE.
Copyright © LEMUTUZ

Developed by MKCT