Hali
ya taharuki imetanda katika mikoa ya Kilimanjaro na Arusha baada ya
kugundulika mahali walipofichwa watoto17 wakiwamo watatu wa familia moja
wanaodaiwa kupotea tangu mwezi Februari mwaka jana kwa madai ya
kufundishwa maadili ya imani ya dini ya kiislamu.
Umati mkubwa wa wakazi wa mji wa Moshi wamejitokeza katika kata ya pasua SOMA ZAIDI>>
0 comments:
Post a Comment