Tuesday, March 24, 2015

Watu sita wamefariki na wengine 9 kujeruhiwa baada ya magari manne kugongana huko Undomo wilayani Nzega Usiku wa kuamkia leo. Kwa mujibu wa Mganga wa hospitali ya Nzega amethibitisha Kutokea kwa ajali hiyoSOMA ZAIDI>>

0 comments:

Post a Comment