Meneja Miradi kutoka Shirika la Umeme Nchini (Tanesco) Mhandisi Khalid James (kulia) akiieleza Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini hatua iliyofikiwa ya ujenzi wa miundombinu ya umeme katika mikoa ya Iringa, Dodoma, Singida hadi Shinyanga inayosimamiwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) Awamu ya Pili. Kamati ya Bunge inafanya ziara katika mikoa ya Dodoma, Singida, Arusha na Kilimanjaro kwa ajili ya kukagua miradi ya umeme ili kujionea maendeleo yake pamoja na kuzungumza na wananchi
Meneja Miradi kutoka Shirika la Umeme Nchini (Tanesco) Mhandisi Khalid James (katikati) akitoa maelezo mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini kuhusu maendeleo ya ujenzi wa njia kuu za umeme unaofanywa na kampuni ya Jyoti Structures Limited kutoka India katika eneo la Nara mkoani Dodoma
Moja ya mrara kwa ajili ya njia kuu ya umeme ikiwa chini ya ujenzi unaosimamiwa na kampuni ya Jyoti Structures Limited kutoka India. Nguzo moja inagharimu shilingi milioni 200.
0 comments:
Post a Comment