Posted by Williammalecela.com on Friday, March 27, 2015
 |
"Hichi
kipindi sio cha kukosa na si cha kawaida kabisa - mm nimekiona kabla
hakija rusha Ina maana najua ninacho kiandika- ni
kipindi ambacho naweza
kusema kwa Tanzania hakijawahi kutokea / kipindi ambacho kina onyesha
matukio halisi na watu wahusika - kinachoonyesha jinsi watanzania wanao
ishi Afrika ya Kusini - Kama mnavyo jua kuna wkt miaka ya 90 vijana
wengi wakitanzania walikua wanakimbilia south kwa kuzani kutakua na
unafuu wa maisha - sasa je unataka kujua maisha yao halisi
? Basi usikose kuangali kipindi hichi cha BONDENI kila jumamosi saa
tatu kamili usiku na marudio ni jumapili saa nne asubuhi - Kama una
ndugu jamaa au rafiki aliondoka mika mingi nyumbani na hujui yuko wapi
usikose kufatilia inawezekana ndio chanzo cha kufahamu yuko vipi na
anafanya nini- USIKOSE BONDENI TV SHOW TBC1 KILA JUMAMOSI SAA TATU
KAMILI USIKU - @bondeni_tvshow @bondeni_tvshow"
|
 |
| Mratibu wa kipindi hicho kipya akizungumza na Media jana kuhusu kipindi hicho, kulia kwake ni Naibu Mkurugenzi wa Diaspora Wizara ya Mambo ya Nje Mama Rose Gairo live!! |
 |
| Le Mutuz Nation talking to Naibu Mkurugenzi wa Diaspora Wizara ya Mambo ya Nje Mama Rose Gairo live!! |
0 comments:
Post a Comment