Hayati John Komba enzi za uhai wake
Mbunge wa Nyasa (Mbinga Magharibi) mkoani Ruvuma na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Capt. John Komba amefariki dunia jioni hii katika hospitali ya TMJ jijini Dar es salaam, mtoto wa Marehemu Bw. Herman Komba amethibitisha. Taarifa zaidi tutawaletea hapa hapa kadiri ya zitakavyokuwa zikipatikana.MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI- AMIN.

0 comments:
Post a Comment