Hizi ni baadhi ya picha za Staa mrembo kutoka Bongo
Movies , Wema Sepetu akiwa pamoja na mshindi wa shindano la Big Brother
Africa (BBA) 2014, Idris Sultan wakifanya manunuzi kwenye moja ya
supermarket hapo bongo.Wawili hawa
wameonekana kuwa ni watu wa karibu sana sio tu kwa muonekano wa picha hizi bali hata kwa maneno ya wema wenyewe, kwani kwenye picha hiyo hapo juu Wema aliandika maneno haya;
SOMA ZAIDI>>
wameonekana kuwa ni watu wa karibu sana sio tu kwa muonekano wa picha hizi bali hata kwa maneno ya wema wenyewe, kwani kwenye picha hiyo hapo juu Wema aliandika maneno haya;
SOMA ZAIDI>>

0 comments:
Post a Comment