Posted by Williammalecela.com on Monday, March 02, 2015
Waziri wa Mambo ya Nje na Uhusiano wa Kimataifa Mheshimiwa Bernard Membe akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kuhani msiba wa Kapteni John Komba ambapo alisema Komba alikuwa shuhuda kwenye mgogoro wa mpaka wa Ziwa Nyasa na Malawi.
0 comments:
Post a Comment