Mkuu wa kitengo cha Branchless Banking and Business Development wa AccessBank
Tanzania, Mr. Andrea Ottina afurahishwa na mwenendo wa huduma za kubenki kupitia
AccessBank WAKALA. Hayo yalibainika pale alipomtembelea mmoja wa mawakala aliepo
eneo la makumbusho na kufanya miamala mbalimbali mapema leo.
Tanzania, Mr. Andrea Ottina afurahishwa na mwenendo wa huduma za kubenki kupitia
AccessBank WAKALA. Hayo yalibainika pale alipomtembelea mmoja wa mawakala aliepo
eneo la makumbusho na kufanya miamala mbalimbali mapema leo.
Mkuu wa kitengo cha Branchless Banking Developing akipewa maelekezo na wakala jinsi ya kufanya miamala
Mr Ottina akifanya muamala baada ya kupata maelekezo
Akijaza taarifa za muamala katika kitabu cha kumbukumbu cha AccessBank WAKALA
Mr Ottina akifurahia huduma wakati wakala anaendelea kukamilisha muamala
Mr Ottina akipokea pesa kutoka kwa Wakala
Mr Ottina akiwa amekabidhiwa risiti baada ya muamala kukamilika
Aidha bwana Ottina, amewaasa wananchi kutembelea mawakala wa benki hiyo waliopo karibu
nao ili waweze kufanya miamala balimbali ya kibenki kwa haraka na wepese zaidi. Baadhi ya
huduma zinazotelewa kupitia AccessBank WAKALA ni kama vile, kuweka pesa, kutoa pesa,
kufungua akaunti, kulipia bili za huduma mbalimbali kama vile LUKU, DSTV, DAWASCO na
nyingine nyingi.
Hivi Karibuni AccessBank Tanzania ilianzisha utoaji wa huduma zake za kibenki kupitia
mawakala waliopo mtaani Maarufu kama AccessBank WAKALA. Mfumo huu umeiwezesha
benki kuendelea kusogeza huduma zake karibu Zaidi na wateja na hivyo kuongeza urahisi wa
upatikanaji wa huduma zake.
kwa sasa huduma zinapatikana kwa Mawakala wafuatao; Skuvi 188 Mini Supermarket
(Kijitonyama Shule - 0784 800573), Lacasumbai (Makumbusho – 0717 173084) na JK Internet
nao ili waweze kufanya miamala balimbali ya kibenki kwa haraka na wepese zaidi. Baadhi ya
huduma zinazotelewa kupitia AccessBank WAKALA ni kama vile, kuweka pesa, kutoa pesa,
kufungua akaunti, kulipia bili za huduma mbalimbali kama vile LUKU, DSTV, DAWASCO na
nyingine nyingi.
Hivi Karibuni AccessBank Tanzania ilianzisha utoaji wa huduma zake za kibenki kupitia
mawakala waliopo mtaani Maarufu kama AccessBank WAKALA. Mfumo huu umeiwezesha
benki kuendelea kusogeza huduma zake karibu Zaidi na wateja na hivyo kuongeza urahisi wa
upatikanaji wa huduma zake.
kwa sasa huduma zinapatikana kwa Mawakala wafuatao; Skuvi 188 Mini Supermarket
(Kijitonyama Shule - 0784 800573), Lacasumbai (Makumbusho – 0717 173084) na JK Internet
Café’ (Mwenge Mpakani – 0713 477112). Mawakala wengine katika maeneo mbalimbali
watatangazwa hivi karibuni. Wateja wanaombwa kutembelea mawakala hawa kujipatia huduma
hata baada ya muda wa kazi wa matawi ya benki. kwa msaada zaidi mteja anaombwa kupiga ;
0659 074000.







0 comments:
Post a Comment