Moto ukielekea kuzimwa baada ya zima moto kuwasili pamoja na jitihada za wanafunzi
Muonekano wa chini wanafunzi wakiwa wanajitahidi kutoa vitu nje
Chumba hiki kilikuwa kina hifadhi magodoro baada ya kuungua
Polisi wa kikosi cha zima moto John Edson akiwa juu ya bweni akiendelea kuzima moto.Baadhi ya magodolo yaliyo bakia vipande baada ya kuungua
Baada ya kuwasili Profesa Rwekaza Mukandala kiongozi wa chuo kikuu cha dae es salam alisema hasara iliyo patikana nikubwa ila watajitahidi jinsi gani ya kuwasaidia wanafunzi wapate sehemu ya kulala iliyo salama.
Alisema usalama upo wa kutosha kutokana na kuwepo askali kama kamanda wa mkoa Mr Wambula pamoja na mama Nante Kilonzo kiongozi msimamizi wa chuo cha dar es salaam.







0 comments:
Post a Comment