Thursday, March 12, 2015

pol1 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na  Makamu wa Rais wa  Kampuni ya Contractus ya Poland, Bw. Witold Kartzewski (wapili kulia) na watendaji wa kampuni hiyo, Daniel Junusz (kulia) na Honorata Musloviska Ofisini kwake jijini Dar es salaam Machi9, 2015. Kampuni hiyo pamoja na mambo mengine bingwa katika  ujenzi wa vihenge vya kisasa vyenye uwezo wa kuhifadhi tani nyingi za nafaka. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

0 comments:

Post a Comment