Sunday, April 5, 2015

Mara baada ya hapo jana mwanadada Amber Rose kutoboa ya moyoni na kueleza  kuwa  Wiz Khalifa ndio mwanaume pekee ambae anampa furaha na hatojali watu wanasema nini.
“My ManCrushEveryday you know what it is…. We went incorrect somewhere and even if we never ever get back together ( Even tho I pray, dream and hope we do) he will forever be the like of my life. The media doesn’t make it easy but fuck them we gotta live for reality and not society. We forever have a bond because we made a gorgeous baby from our Like. Owing to all the ups and downs of our relationship my heart still beats for him every single day. I’m sick of putting on a front like I’m pleased without him. I’m not. He makes me pleased. He’s the only one who can. Regardless of how our lives Turn out in the long run he will always be the skinny tatted up stoner that has my heart” Amber alimaliza na kubandika picha akidendeka na Wiz.
Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Jacqueline Wolper aliubandika tena ujumbe huo kwenye ukurasa wake mtandaoni na kundika maneno haya.
Asante dada Amber kitu hicho kimenitokea na niko pleased Now na maisha yangu unajua beta kuwa Muwazi sema na moyo wako usiseme na mimoyo yao wanafkreee wanaojua kuongoza maisha ya watu kama wao ndo wamekuzaaa shenzeee .Sema na moyo wako rudi kwake ata kama wakikusema unajipendekeza poa tuu usisikize ushauri wamarafiki sometime wanakupoteza nahuwezi jua mapenzi yao kwako maana marafiki bwana ooh usijishushe we star we mzuri we unakosa nini…. Moyo aunaga uzuri wala ustar wala pesa.. Moyo ni moyo na mengne ni mengine maneno haya yametoka kwenye sakafu ya moyo wangu done ..pleased 4 u Amber .

0 comments:

Post a Comment