Ni
kweli, wale mafundi nimeambiwa kwa jinsi walivyojenga, walichakachua
simenti. Hata hivyo, kwa kulitambua hilo nimechukua mafundi wapya na
kazi inayorudiwa sasa ni ya uhakika zaidi. Huu ujanjaujanja uliofanyika
hata mimi sijakubaliana nao.”alisema dai.... Kwa hiyo unarudia ujenzi wa
nyumba yote?” Diamond: “Aaa! No! Unajua mafundi waliojenga ule ukuta
ulioanguka siyo waliojenga nyumba kubwa. Ni mafundi wawili tofauti. Kwa
hiyo nina imani nyumba kubwa ipo sawasawa.”.... Baadhi ya marafiki zako
wanasema fundi ni mmoja ila unasema ni wawili ili usibanwe kuhusu
kuirudia nyumba kubwa.” Diamond: “Hamna bwana! Waliojenga ukuta wa uzio
siyo wa nyumba kubwa. Ndiyo maana nimewaita wengine kujenja upya uzio.
nakuwa na wasiwasi sana....
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment