Mwanamuziki mwenye tuzo la kimataifa
Akon amesema kuwa hakuna hata mwanamuziki mmoja wa Kenya ambaye
amemuomba kufanya naye 'kolabo'mara zote tano ambazo ameweza kuzuru
Kenya.
Tamko la msanii huyo linajiri kufuatia madai kutoka kwa wanamuziki wa Kenya kwamba hayuko tayari kufanya nao Kazi.

0 comments:
Post a Comment