Posted by Williammalecela.com on Wednesday, April 22, 2015
Tuendelee
kuangalia maisha ya mastaa wa soka nje ya uwanja. Baada ya kumcheki
Adebayor, leo ni zamu ya mtoto wa uswazi Etoo aliyegekuka kuwa wa
kishua. Ugonjwa mkubwa wa Etoo ni magari ya kifahari, gereji ya Etoo
ina Bugatti, Masserati, Ferari, Rolls Royce na mengine.
maisha umeyakatia denge jombi, sio mchezo
ReplyDelete