Wanawake wengi tukipewa mitaji hatukawii kumaliza anajua kwa nini?
Tuna mahitaji mengi kuliko wanaume
1. Nguo tunavaa nyingi kuliko wanaume blouse, skirt, na vya humo ndani.
2. Uso unahitaji poda, foundation, wanja, lipstick, n.k. hapo hajajikoboa.
3. Nywele zinahitaji mafuta, steaming,pink lotion, shampoo, kusuka, n.k. hapo hajaweka dawa wala kuunga nywele za wafu.
4. Mavazi likipita dera la mkopo analo, upatu, vikoba, kufa na kuzikana yumo, sare, safari za ghafla shost kampitia ampeleke kwenye msuto.
Kisha unampa mtaji unamtegemea na huduma za nyumbani zimuhusu.
Umkute mwanamke mwenye akili ya maendeleo.
Na nyie wanaume mnachangia tukiamua kuwa natural kama misitu mnatuona wa shamba
1. Nguo tunavaa nyingi kuliko wanaume blouse, skirt, na vya humo ndani.
2. Uso unahitaji poda, foundation, wanja, lipstick, n.k. hapo hajajikoboa.
3. Nywele zinahitaji mafuta, steaming,pink lotion, shampoo, kusuka, n.k. hapo hajaweka dawa wala kuunga nywele za wafu.
4. Mavazi likipita dera la mkopo analo, upatu, vikoba, kufa na kuzikana yumo, sare, safari za ghafla shost kampitia ampeleke kwenye msuto.
Kisha unampa mtaji unamtegemea na huduma za nyumbani zimuhusu.
Umkute mwanamke mwenye akili ya maendeleo.
Na nyie wanaume mnachangia tukiamua kuwa natural kama misitu mnatuona wa shamba
- George Gaspa Warioba we mkali
- Bakari Mshuza Hiyo picha inanichanganya kidogo ni mwanaume au mwanamke
- Mkombo Mkombo Jamani nimependa maneno yako ni kweli kabisaa baadhi ya wanawake wana tamaa na kutaka vitu vilivyo juu ya kipato chake hii hupelekea kushindwa kuendelea katika biashara, lakini Johari Orig huyu ulompost ni me au ke hahahaaaaa
- George Gaspa Warioba shemeji anatalifa kuhusu picha hiyo
- Ali Kondella Mmh mie ninapita tuuu. Hainihusu
- Ali Kondella Mmh mie ninapita tuu
- Johari Orig Haaaahaaaa George Gaspa Warioba
- Johari Orig Haaahaaa ni ke huyo natural kama msitu Mkombo Mkombo
- Johari Orig Haaaahaaaa njia imefungwa huko Ali Kondella
- Johari Orig Kitu asili wala hana gharama mafuta ya Nazi tuu mpaka usoni mwanamke huyo Bakari Mshuza
- Mkombo Mkombo Mmmh kwa hapo natural tuiachie misitu
- Hangi Kilango Mmmmh Shoga nimetuli tuuu
- Bakari Mshuza Duh
- Johari H Kalombola Heee mbona anandevu nyingi hivyo!?
- Bakari Mshuza Kwa upande wangu hiyo picha inanichanganya sana
- Hashir Mwembe Duuu
- Johari Orig Kwanini jamani kafanya fair kwani kachukua sura ya baba mwili wa mama Bakari Mshuza
- Hamad Mheruka weeeee si dume hilo
- Johari H Kalombola Hehehehe! Anandevu kama blash
- Johari Orig Kwani Somo humkumbuki marehemu Bint Nyenye wa Tabora au ulikuwa bado mdogo Johari H Kalombola
- Ezemwa Sharif Muhimu Usafi Na Umaridadi
- Johari H Kalombola Cmkumbuki somo
- Johari Orig Poyeeee sina uhakika kama ulikuwa umeshakuja duniani walikuwa zaidi ya huyu Johari H Kalombola
- Bakar Shehe ww mwanamke kweli ?naona sura ya kibasha
- Mkombo Mkombo Ukioa huyu lazima udundwe
- Evelyne Paschal Madunagu Ati wanasema ukitaka ujenge, mwanamke nyoa nywele zako, cos zunatumia pesa nyingi
- Djkey Boyclassic mmetisha sanaa maana kwastail hii hakusi mtu
- Johari Orig Haaaahaaaa kuna baadhi ya gharama ni za ziada ila kwa maumbo yetu ukiwa bahili utanuka shombo balaa Evelyne Paschal Madunagu
- Evelyne Paschal Madunagu Kkkkkkkkkkkkkkkkkk, ni shidaaaaaaa
- Johari Orig Haaaahaaaa ndio raha wao si wababe mume anakusonya hata mbele za watu mfyuuuuuu kama shetani Mkombo Mkombo
- Mkombo Mkombo Yaani sonya ww sasa uone kilichomtoa kanga manyoya
- Djkey Boyclassic daah kweli johar orig
- Lilian Mwakyusa Mh aunt hi hi no coment
- Mrisho Kasongo Kikubwa hapa si ndevu au sura yake ya kiume!! Kikubwa hapa kwa wanawake kupunguza matumizi yasiyokuwa ya lazima haswa mapambo ya mwili na mengineyo yasiyokuwa muhimu au lazima! Ni kweli sio uongo wanawake wamekuwa na matumizi mengi yasiyokuwa na lazima! Badilikeni kwa ajiri ya maendeleo yenu!!
- Johari Orig Haaaahaaaa Mkombo Mkombo
- Johari Orig Kaka umenipatia nilipolenga ahsante Mrisho Kasongo
- Johari H Kalombola Kwadunia ya sasa hivi hakuna matumizi ambayo co ya lazima Mrisho acheni tu ubahili watu tujipare! Tehe tehe! Full mapowda full manukato! Ukitoka ndani shetani mwenyewe anakimbia! Hahahaha!
- Arnold Mnzava Tsha sanaaaaaaa
- Wabo Mikiki alafu umenichekesha hao hawajioni?



















0 comments:
Post a Comment