Wednesday, April 8, 2015

mchungaji akutwa katika jaribio la kumchinja mwanae kwa madai ya kwamba eti AMEOTESHWA na Mungu ili atoe sadaka lakini
ilishindikana kukamilisha zoezi hilo kutokana na watu kuja na kumkamata picha ya juu mtoto aliyekuwa akitaka kutolewa sadaka chini ni mchungaji ambaye ni baba wa mtoto.

Categories:

0 comments:

Post a Comment