Mwanamama nguli na nyota wa kipindi
cha runinga cha The Keeping Up with the Kardashians,Kim West ambaye ana
mtoto mwenye umri wa miezi 21 North West aliyezaa na mumewe Kanye
West,imeelezwa na mumewe huyo Kanye ,mkewe hataki chochote katika
ulimwengu huu zaidi ya kupata mtoto mwingine ,lakini madaktari
wamemuonya anaweza kukabiliwa na hatari kiafya.
Na ilipobidi kumkabili mumewe huyo, ambaye ni nguli wa muziki wa tambo,alipomwambia juu ya suala hilo tete, alikubaliana nalo na kumwambia endapo atafanikiwa kupata mtoto wa pili atakuwa wa mwisho kwasababu kondo la uzazi linakua kwenye kizazi chake.

0 comments:
Post a Comment